Back to Hymns and Songs

Song · Kiswahili

Rejesha

VA

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado Wewe uko na mimi

VB

Ijapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado Wewe uko nami

VC

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VD

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VE

Ijapo safari iwe na ugumu Utanishika mkono Ijapo adui aje kwa vishindo Bado Wewe uko nami

VF

Ijapo safari iwe na huzuni Utayapanguza machozi Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami

VG

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VH

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VI

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VJ

Ijapo safari iwe na giza Utaangaza njia yangu Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami

VK

Ijapo safari iwe na ukame Wewe ni maji ya uzima Ijapo adui aje kwa vishindo Bado wewe uko nami

VL

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu

VM

Utayarejesha maono yangu Miaka yote iliyoliwa na nzige Nimeona wema wako Na nguvu zako maishani mwangu